Tecno kimeo notedYule kiungo mwenye mapafu..
Alikuja OT kww mbwembwe hadi tukampa jezi No. 7 ambayo hupewa wafalme wa OT..
Namzumzungumzia Memphis Depay . Ameamua kutoa wimbo wake wa Rap na kuonesha hana tuu kipaji cha mpira ila pia anaweza kuimba..
Jamaa ana 508k viewers hadi sasa toka uwekwe youtube week 2 zilizopita..
Wimbo ni huo hapo
sent from my Tecno kimeo using jamiiforum mobile app
Wala mkuu..Mkuu you are missing the beat.... Nilimuuliza spouse wako kwamba anasukwa au 'anasukwa'? Maana amekaa muda mrefu sana kwa mkongo ha ha ha
Mwenye I phone,mwenye Galax mwenye lg n.k wote tunaingia jf hii hiiUkorofi kwa mpendwa wa Obe
Kuoa kwani lazima?
Unapata maziwa kwani lazima ufuge ng'ombe ?
Pia mimi siyo mzee sijagusa 30
........
Kupata views, kwenye blog,website
Kisha wanaingiza mkwanja
........
Cc.shululuNitakutafuta
......
Mimi pia sijuiNitakuPM
Mambo mengine sio ya kusema hadharani
Wapo watu wangu humu KF wanaojua
..........
Nilitaka muongee kwanzaNimemtonya hajashtuka
.......
Hata mastaa wanaopost picha za utupu mtandaoni wanapiga pesakuumbee
AiseeMimi pia sijui
Dreams never end by fear
Kweli kabisa kila mtu kwa uwezo wakeMwenye I phone,mwenye Galax mwenye lg n.k wote tunaingia jf hii hii
Sipendi uchochezi mieeeehMkuu you are missing the beat.... Nilimuuliza spouse wako kwamba anasukwa au 'anasukwa'? Maana amekaa muda mrefu sana kwa mkongo ha ha ha
Nilishamuelewa nilikuwa natafuta kikihajui kutoa labda itakuwa hajazngatia maelezo yko