Makapuku Forum

Its true,nina mjukuu wangu alikua na shida ya sikio tukampeleka kwa ENT doctor kama wk mbili zilizopita,akamcheki na kutuambia tu stop kusafisha masikio na coton buds,ear wax ni dawa inafanya sikio lijitibu,alikua hajaanza kuongea na usikivu duni tukawa hatuna amani lakini dokta ametuhakikishia ear wax ikirudi atakua vizuri,ukweli watu wengi wanawakwangua sana masikio watoto na zile cotton buds lakini kumbe sio jambo zuri ni kuacha tu labda uchafu uwe mlangoni unachuruzika
 
Ni hatari sana kuchokonoa sikio, ila watu wengi hawajui

Pia huyo mtoto anapooga jitahidi kulinda masikio yake yasiingie maji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…