Makapuku Forum

MATHAYO 5

3.Heri walio masikini wa roho,maana ufalme wa mbinguni ni wao.

4.Heri wenye huzuni Maana hao watafarijika.

Mpendwa usiku wa leo naomba nikwambie,hata kama unapitia mateso gani kama hujamuacha MUNGU Ufalme wa Mungu ni wako na utafarijika..usimwche MUNGU kwa ajili ya shida yoyote..ng'ang'ania kwake

USIKU MWEMA DAMU YA YESU ITUFUNIKE
 
....heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki maana watairithi nchi....


Amen mamii
 
Asante Obe barikiwa
 


Amen mama mtumishi wa Mungu. Asante kwa mawaidha mazuri ya kutia moyo na kunimotivate angalau kujaribu kutenda mema na kutokata tamaa. Usiku mwema
 
Amen, Asante mama mchungaji kwa maombi ya usiku, nawe pia ufunikwe kwa damu ya Yesu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…