Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
UmeadimikaaaVisiwani
UmeadimikaaaVisiwani
Kirat. ..![]()

KumekuchaKumekuchaje humu ndani
NaonaKumekucha
Lete habariiiNaona
MonieMorning
Akikutag nitag na mimi mkuuHebu nitag please
MorningMonie
Na mimi nitagAkikutag nitag na mimi mkuu
Mwambie mke mkubwa atutag wote basi..Na mimi nitag
Jana sijalala kwake kaninuniaaMwambie mke mkubwa atutag wote basi..
Audio za nini hizo kwanza?
Ooh jamaniAlikuwa anapost hadithi kule entertainment sasa hapa akasema anaumwa kifua kinabana anashindwa kupumua vizuri mi nikamwambia kwamba labda itakuwa pumu
Lakini kuna mmoja akanambia kuwa nisifanye mchezo na afya za watu ikabidi ninyamaze
Basi nikazungukia ule uziii kila siku sasa nimeingia ndio nakutana na hizo habari kuwa ibrahim kashatuacha
Kuna jamaa anasema alimpigia simu akamwambia amegundulika ana pumu akapanga kesho yake akamuone sasa ile kesho ilipofika akampigia simu ibra ikapokelewa na mdogo wake ndo akamwambia kwamba mwenye simu kafariki
R I P IbraAsante sana uncle kwa magazetiView attachment 536350Kwa udhamini mnono wa Ankali JJ, sina la ziada tukutane tena kesho
Nawatakieni siku njema
Good...!! Morning comradeMorning all kapuku
ShalomISAYA 54
17.Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa,na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa.Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA,na haki yao inayotoka kwangu mimi ,asema BWANA.
Mpendwa wangu,BWANA MUNGU anasema nasi asubuhi ya leo kumbuka unapoishi kuna changamoto nyingi na maadui wengi,maneno mengi ya kukatisha tamaa,mambo mengi ya kuturudisha nyuma na kutuvunja moyo yote haya Mungu Baba yetu anayajua na anapenda kutukinga nayo ,na hakika atatukinga..jambo la Muhimu kwetu ni kumtegemea yeye na kumuamini na kumuweka yeye kwanza na hapo kila jambo litakingwa naye...silaha zitakazoelekezwa kwetu hazitafanikiwa,maneno mabaya laana mikosi havitatupata kama tukijikabidhi kwake...jikabidhi kwake BABA siku zote za maisha yako upate urithi huu .hii ni Ahadi ya MUNGU kwetu..SHALOM
![]()
![]()
![]()
Asante kwa dondoo za BBC, UF pamoja na simuliziNa mengine kama......
Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa asema jaribio la Korea Kaskazini kuzindua makombora ya masafa marefu inawakilisha wingu la mzozo duniani.
Viongozi katika eneo la Mandera nchini Kenya wavituhumu vyombo vya usalama kwa mauaji ya wakazi wa eneo hilo.
Rais wa Rwanda Paul Kagame aushutumu Umoja wa Ulaya kujiingiza katika masuala yanayohusu uchaguzi wa nchi hiyo.
Na kaburi la Mtunzi wa Wimbo wa Taifa wa Uganda lafukuliwa na watu wasio julikana, kukiwa na wasiwasi mabaki ya mwili wake yameiubiwa. ikiwa ni miaka mitano toka kuzikwa kwake.
Si njema sana katibuLete habariii
Ahsante nimefika salama kabisa mkuuKaribu tena mdogo wangu..
Na pole kwa safari