Makapuku Forum

Katika dondoo za bbc. ..

Marekani yathibitisha kuwa makombora yaliyofanyiwa majaribio na Korea Kaskazini ni ya masafa marefu.

Viongozi wa nchi za Afrika wamaliza mkutano wao na kuazimia kukabiliana na matatizo yanayoliathiri.

Ripoti mpya ya shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa yaonesha kuwa watu milioni 12 Magharibi na Afrika ya kati wanakimbilia uhamishoni kila mwaka, nusu yao ikiwa ni watoto.

Duka kubwa katika ukanda wa Afrika Mashariki, Nakumatt, linakumbwa na misukosuko ya kifedha kusimamisha mchakato wa kuajiri wafanyakazi wapya, huku likitafuta jinsi ya kujinasua na upungufu wa fedha.
 
Asante kwa dondoo za BBC..
 
Amen, Asante mama mchungaji kwa neno Ubarikiwe sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…