Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
Siwezi mie kuna watu hawapendi kuona wenzao wakiwa na furaha ni vivuruge mwanzo mwishoNgachokaa
Siwezi mie kuna watu hawapendi kuona wenzao wakiwa na furaha ni vivuruge mwanzo mwishoNgachokaa
Mdogo wangu nae sijui alianzaje kumsifia bhanaNimeona , tatizo naye alimsifia
Nafurahi kumjuaBinamu wako kipenzi
Binamu ungekuwa upande wangu anayoyafanya anko wako usingefurahia kabisa tena ungekuwa mkali kama anko wake
Unataka nikwambie uzime simu ...??Nimeona shemela kumbe anataka kuniambia yanayojili jf
Wala sihitaji kumjua shemelaUsimjue kabisa
NdioooUmeona eenh
Ndo nakuelezeaa shemela mpyaa![]()
![]()
mimi namjua shemela wangu shunie tu
Hamna dada basi tu lakini kusifia sio shida ujueMdogo wangu nae sijui alianzaje kumsifia bhana
Unatakaa nn lakinii??Mtoe hapo kwenye avatar ubaki mwenyewe
Police kufanya nini tena binamuLol! Niko upande wako na unajua hilo, yaani nimemkasirikia anko hadi na yeye kaamua kunitishia maisha sasa kama vipi tukae kama kamati. Unaonaje tukienda polisi akamatwe tuseme kwamba ametishiwa kutekwa?
Muite kakaNakuita nani vile??
Binamu...nani akamatwe?Lol! Niko upande wako na unajua hilo, yaani nimemkasirikia anko hadi na yeye kaamua kunitishia maisha sasa kama vipi tukae kama kamati. Unaonaje tukienda polisi akamatwe tuseme kwamba ametishiwa kutekwa?
Pedeshee Lee mutu ya muke mingiiUsijali mama D wewe utabaki kuwa mke mkubwa na upendo ntawapenda wotee kabisaa
Msirumbane nyie ni wake wa pedesheee
Kuzima simu vinahusiana na nini baba dUnataka nikwambie uzime simu ...??
Usitoe tena maneno mabaya..Nakuamini mume wangu....
Nakuita nani vile??
NshazipelekaaaApeleke peremende hukooo
Asante kwani umetumiwa wewe au mieKatika nyimbo ambazo huwa nakaa nasikiliza mashairi na sauti nzuri huku vyombo vikisikika vizuri kwa uzuri kabisa ni huu.
Asante mdau
Mimi nikiona S tuu...Mie nikisikia jina lako tuu mie hooooi