Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Namuona tu jamaan ebu ukuje nikusalimieHahaha! Anapita tuu
Namuona tu jamaan ebu ukuje nikusalimieHahaha! Anapita tuu
Mwache huyooo bi mdogoUnatakaa nn lakinii??
Japo wewe haumo kwenye listPedeshee Lee mutu ya muke mingii
Acha tuuNa akajaaa kichwa sasaaa
Asante kwani umetumiwa wewe au mie
Pamoja mkuu..Katika nyimbo ambazo huwa nakaa nasikiliza mashairi na sauti nzuri huku vyombo vikisikika vizuri kwa uzuri kabisa ni huu.
Asante mdau
UlaleeeKuzima simu vinahusiana na nini baba d
Umetumiwa wewe! Mimi nimesikiliza tu nilikuwa napita hapa kwenye kichochoro chenu. Muwe mnafunga madirisha basi, japo muweke pazia, yaani chumba chumba mnakiacha wazi kama hotel ya babantilie, pazia mgongo?

BabyUsitoe tena maneno mabaya..
Linda sana mdomo wako..
Unaikumbuka zaburi?
Nilale ili uendelee kufanya unavyofanyaUlaleee
Baby
Am sorry.... Sijasema kwa ubaya ujue.... Kwani kumeza tikiti ni vibaya honey

AaahMimi nikiona S tuu...
Nakuwa mfu Nusu
Pole sanaaaHumuzi huyo mtoto wa kibondei wewe..
She is too heavy to you..! Try another one
Mimi nshakueleza mambo ya msingi yawe ya msingi kweliii
Au na wewe bhinamu unanioneea gere ??
HayaNtapasha na demi wanguuu
Ndo yule tuliyemlipiaa bill siku ileYes ni mkarimu pia
WoooooowwwwHumuzi huyo mtoto wa kibondei wewe..
She is too heavy to you..! Try another one
Ili hiyo nafasi uchukue wewe auMwache huyooo bi mdogo