Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mimi nshakueleza mambo ya msingi yawe ya msingi kweliii

Au na wewe bhinamu unanioneea gere ??


hapana mjomba, gere tena, ninageresha tu ili aunt ajue niko upande wake.

Si umeona nilipotishia kuwa tukupeleke polisi akasema hapana sasa hapa ndo tukubaliane umfanyie kitu cha zawadi, mpeleke hata zanzibar tu akapumzike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom