Makapuku Forum

Marafiki zangu naombeni mnisaidie kitu kimoja, kuna staff mwenzang ananinyanyasaga sana kazini wapendwa, karibia kila wakati, akileta kazi yake na matusi juu,nimevumilia lkn imefikia hatua nmechoka natamani hata kuacha kazi,nifanyeje basi jamani
Aisee, mpuuze tu na usijali anachokisema

Baadaye yeye ndio atajiona mjinga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…