BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Mmmmmh!!!! Mama mchungaji anakupenda sana mpendwa sema ni hivi vistory vyako vya kiselasela ndio vinakuangusha
Unapofukuzia mwanamke angalia huyo mwanamke ni mtu Wa aina gani,_ex: km ni mchamungu basi na wewe itabidi na ww ujifananishe nae kuongea na vingine viendane na uchamungu
Sasa wewee mpendwa wangu km upo serious itabidi uact ulokole banaa
SMILE JESUS LOVES YOU
Mshaanza wabaya wa binamuWoyoooo
Aisee
Kwa cheusi?Niko poa binamu leo si unajua kulee
Siku hizi mikoaniiiKwa cheusi?
Kwa mama ashura?
Kwa makinikia?
Kwa wahamiaji haramu?
Au wapi?! Au kwa baamedi?
Mshaanza wabaya wa binamu
Kwa cheusi?
Kwa mama ashura?
Kwa makinikia?
Kwa wahamiaji haramu?
Au wapi?! Au kwa baamedi?
Shululu Wa tumosaAisee
Muone mwenyewe banaaNikoooo hapa ...nioneee demii
Woyoooo
Niambie mpendwa wa ObeShululu Wa tumosa
Bhinamu wabaya wote niachie mm nakula nao chapati mojaaa kama sio kitumbua. ......anko yaani acha tu, na hivi safari ya kigamboni nimeitangaza basi wabaya wangu hawachelewi kuivunja.
Ila anko ule unyunyu yaani ndo ukaamua kuupulizia wote kwenye lile koti chafu😱, sasa nimeliona yaani linanukia sijui maapple au mafenesi
Husna at her bestWewe kunimisi mimi ni lazima ila niseme "tulimisiana" maana mi nilikumisi pia
Ndio naendaaa mm....tuaenda Tukuyu kwa Michelle, noo, anko wangu anaenda huko Tukuyu
Huo ushauri aliokupa mpendwa wakoVipi mdau mbona unaishia kuguna na kuguguzika tu? Umetatizika ?
Furaha ni nzuri kwa wapendwaMshaanza wabaya wa binamu
Tupeane nn?Bhasii mpeaneee