2/7/1925 - Patrice Lumumba anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa kwanza wa Congo zamani Zaire.
Aliuwawa kikatili mwaka 1961 chini ya Dikteta Kanali Joseph Desire Mobutu
2/7/1925 - Patrice Lumumba anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa kwanza wa Congo zamani Zaire.
Aliuwawa kikatili mwaka 1961 chini ya Dikteta Kanali Joseph Desire Mobutu