Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Zaidi ya 50% ya maandishi huwa yanatoka kichwani mwangu ila data ndo huwa lazima niziandike kama vilivyoUnajitahidi sana mkuu..!
Nice work! Great attitude
Pamoja ComradeZaidi ya 50% ya maandishi huwa yanatoka kichwani mwangu ila data ndo huwa lazima niziandike kama vilivyo
Muda ukianza kubana nitakuwa naziandika pale nitakapopata muda misha niwe nasihifadhi zen kila siku niwe naziachia ila kwa sasa majukumu hauajabana ndio sababu huwa naandika LIVE
.......
Ndo Hivyo mdau huwezi kuacha majukumu ya kukuingizia mkwanja ili tu uwepo JFUko vizuri mkuu! Mimi nasoma sana novel nikiwa na muda wa mapumziko..
Ila michakato ikibana hata Nukuu nashindwa kuandaa
Ni mzigo apige!Muwe na Usiku Mwema![]()
Duh unajia JF pia ni kama kujitangaza tu samtaimu mti unapata dili
Kuna blogger alinitaka nifanye nae kolabo niwe naandika kweny e blog yake fasheni,swaga za kitaa n.k ila tukashindwana maslahi....kuna thread yangu kule Jukwaa la utanashati ilimvuia pia Chit chat zamani nilikuwa naandika swaga za kitaa nazo jamaa alizikubali yaani km vile Zee la Nyeti Mwananchi jumamosi
.......
......
![]()
![]()
![]()
Ndo utajuaa sasa ....jiandae kumpeleka south beach au mikadiii![]()
![]()
![]()
Bhinamu umelala , umelaliwaa
Kama husna yuko offline jua wanabinyana tuu mida hzi
Mimi sijui wanapashaga nini na dada yako..
Nilikuwa na mpango huo ila utawala wa sasa na sheria za makosa ys mtandaoni zikanitoa hofu....ila mpango bado upo
Yeye blog yake Ilikuwa tayari imeanza kukua Hivyo pia Ilikuwa Ni sehemu ya kujipima
......
Nitajitahidi mdauBrother heshimu kipaji chako ulichonacho..Kila kitu na changamoto zake uditegemee kupita mteremko tu kuna milima pia..
Amua tu nataka nifanye kitu flani baasi..Fuata ndoto zako na uzitumie..
Nitajitahidi mdau
Tukutane kesho
Usiku mwema
.......
Bhinamu umelala , umelaliwaa