Makapuku Forum

Ewaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ni wazo zuri mdau
Hapo watoto wa juzijuzi tutakuwa tunafurahia mapigo yetu
Mimi nataka Starehe za Ferouz

.......
 
Ndio maana nipo singo ajili hii mtu akinikatalia limoja basi hua namuacha tu coz penz tamu ni lile mlilo lidhiana..But nimempenda sana huyu mwanamke basi tu
 
Sasa sema taratibu sasa anko, si unajua ile safari ya Kigamboni ndo kwanza leo nimenunua unyunyu, akisikia tu aunt ujue na safari hii itakufa mazima
Safariii iko palee pale ...si ushamtimiziaa alichotaka ...kuhusu unyunyu nimekuibiaa kidogo ulivouachaa lile koti nimepulizia nkaweka kwenye begiii..ntakua natooa nguo inanukiaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…