Makapuku Forum

me sijui nipo dunia ya ngapi kumbe haya yamefikia huku kweli wenye mpira wao wameamua wanataka mpira wao
 
Aisee shusha vitu
 
7/Sheep
Unafuga kondoo? Wapime werevu wao!!
Kondoo nao ni wapuuzipuuzi tu japokuwa wanejaaliwa akili
Pia ni wanyama wapole....kondoo wengi ni wajinga na wazembe ndiosababu wanauawa na wanyama wengine kizembezembe
.....
Kule usukumani fisi huwa anajichukulia tu
 
me sijui nipo dunia ya ngapi kumbe haya yamefikia huku kweli wenye mpira wao wameamua wanataka mpira wao
Mwisho wa usahili wa wagombea wa uongozi pale TFF.... Ndio mwanzo wa muvi mpya kwenye uchaguzi mkuu.

Wacha tusubiri watunzi wa hadithi hii maana dude naona halilali kabisa...... Usahili unaendelea na muvi nayo inaendelea.
. TFF 2017.
 
Aisee, Asante bitoz kwa kumi kubwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…