Mipango ya Mungu sio ya mwanadamu....anakupa apendavyo kwa wakati wake...namfahamu dada alifiwa na mumw miaka ya themanini akamwachia mtoto mmoja wa kiume...2012 mtoto akiwa form four akafariki ghafla.....tukamzika....2014 mwishoni dada yule alipata mume mngine...2016...amepata watoto watatu wakike wawili wakiume mmoja ..huyo ni Mungu asiyeshindwa.tumshukuru kwa kila jambo