Makapuku Forum

Makapuku Forum

...ila mimi huyu mwenyekiti huwa ananishangaza, yaani hakosi visingizio. Ningemwambia umesafiri unajua ambacho angekifanya, vipi angeibuka kwa teller? si angechoma nguru mtaa mzima ujue.

Mimi nikaipokea ila nikampoza na buku jero, so jua kabisa unadaiwa, deni likikaa wiki naanza kuweka riba kama vicoba
Ndo maana huyu Mwenyekiti nilimfanyia umafia kwa yule najua anafanya kunikomoaa ...sasa na wewe binamu umempa buku daraa lootee kweliiii

Mm sikurudishii utanisameheee ..jifanye umedondoshaa...

Asubuhi njema binamu ...jana nilikuwa na usingiz wa Gb uncountable
 
UF
7100ae9aa022f2ee6a8f6320edc65d3b.jpg
 
Mipango ya Mungu sio ya mwanadamu....anakupa apendavyo kwa wakati wake...namfahamu dada alifiwa na mumw miaka ya themanini akamwachia mtoto mmoja wa kiume...2012 mtoto akiwa form four akafariki ghafla.....tukamzika....2014 mwishoni dada yule alipata mume mngine...2016...amepata watoto watatu wakike wawili wakiume mmoja ..huyo ni Mungu asiyeshindwa.tumshukuru kwa kila jambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom