Makapuku Forum

4/Victor Lustig
Tapeli huyu alizaliwa mwaka 1890 na kufariki dunia 1947
Alikuwa ni tapeli maarufu ....walifanya utapeli mwingi ikiwemo kuwauzia wasafiri ndani ya meli viboksi feki vya kutengenezea pesa(money print) alivyovitengeneza kwa ustadi mkubwa Alikuwa na maneno matatu,mtu snart kimavazi,mjanjamjanja
Tukio lilimpaisha zaidi ni alipofanikiwa kuwatapeli wafanyabiashara wakubwa kwa kuwauzia mnara wa Paris Paris Elffel Tower mara mbili kwa kuwapa tenda feki ya kuubomoa ili wachukue vyuma chakavu
Kiasi kwamba walipogundua wametapeliwa waliona aibu hata kutangaza kwamba jamaa kawapiga assist.....ilikywa ni aibu kwa watu wa hadhi yao
Jamaa Alikuwa na kanuni yake ya utapeli(kutolewa,kuwa smart,kutokuwa mwongeaji)
.......
 
I see wananunua daraja wanalitaka la nini au la kulipia?
 
Huyu alikua msomi nahisi.... Imagine ana mpaka machine za kutengenezea hela fake.... Halafu mtu unauziwaje mnara ambao sio Mali ya mtu??? Ujinga mtupu Ila ingekuwa bongo ungesikia waliopigwa wanajitetea (alikuja na dawa yani akikwambia kitu wala hukatai) kumbe ubwege mtupu
 
Alijifanya mtu wa serikalini
.......
 
Aisee duniani kuna vichwa hatari sana
 
jamaaa alikuwa vizur
 
Duh hatari
 
Haaaaahaaaa assit ni kipaji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…