Makapuku Forum

Makapuku Forum

SHERIA YA NDOA NA MAHARI No 13 ya mwaka 2017

Mahari itakuwa Tzs 700,000 na makato yafwatayo
Hajasoma - Tzs100,000
Sio bikira - Tzs 250,000
Anakuja na watoto - Tzs 80,000 × (idadi ya watoto)
Hawezi usafi - Tzs 80,000
Hawezi kupika - Tzs 50,000
Hana shughuli ya kufanya - Tzs 20,000
Mzembe - Tzs 50,000
Mlevi - Tzs 70,000
Amepiga mkorogo -Tzs 50,000
Makalio bandia - Tzs 50,000
Maziwa bandia - Tzs 50,000

Kama jumla ikiwa hasi (-) basi inabidi ulipwe kwa kuchukua mzigo wao..

Mwisho nimeamin Kweli sikukuu kipimo cha uchoyo hakuna hata alokuja pm kunialika

Jana mpka mkaidi kafaidi siku ya idd kasoro lee
 
658be6d019e576afa0bd0cc4445b3dba.jpg
True
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom