1960 - Madagascar yapata Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
Hongera sana mkuu... Mwaka mmoja sio lele mamaLeo katika Historia:
Segment hii leo inatimiza mwaka mmoja rasmi toka ianzishwe!
Ilianza kama utani utani, ila baada ya kupokea maoni ya wadau hapa ikawa official kila siku ipo pale nipatapo muda na hatimae leo ni mwaka mmoja.
Na hii ndio post ya kwanza ya Segment hii, angalia tarehe na mwaka.
View attachment 530852
Dah kweli tumetoka mbaliPia, ikafatiwa na post hii, mawazo ya Jimena kuhusu Segment
View attachment 530853
The rest is history...
Ndio hata mi ndio kitu cha kwanza kukumbukaKuna mdau alijaribu kuiga na kwenda kuanzisha thread awe anapost lakini akashindwa
Maana kukopi sehemu ni japo moja ila kuandika unachokifahamu ni jambo kingine....akaishia kujikanyagakanyaga tu
Nafikiri unamfahamu
........
R I P Amina Chifupa wa Mpakanjia2007 - Amina Chifupa anafariki Dunia.
Mtangazaji na Mbunge wa zamani.
Alikuwa ni mmoja wa mastaa maarufu miaka ya mwanzoni mwa 2000.
Shukrani na kwako piaLeo Katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie Sikukuu njema.
1977 - Elvis Presley anafanya tamasha lake la mwisho huko Indianapolis nchini Marekani.
Hongera sana ankaliDah kweli tumetoka mbali
Leo sikukuu wewe uko kazini, ni polisi au muuguzi?Nipo Karatu huku na nipo kazini
1908 - Salvador Allende anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa 29 wa Chile.
Alipinduliwa mwaka 1973 na Jenerali Augusto Pinochet katika mapinduzi yaliyofadhiliwa na CIA.
Kazi za technicalLeo sikukuu wewe uko kazini, ni polisi au muuguzi?
1968 - Paolo Maldini anazaliwa.
Beki wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Italy.
1981 - Paolo Cannavaro anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Napoli.
Asantee diktetaLeo Katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie Sikukuu njema.
1983 - Felipe Melo anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Brazil.
AsanteeeEid Mubarak kwenu wote
1987 - Samir Nasri anazaliwa.
Kiungo mshambuliaji / winga wa zamani wa Arsenal, Kwasasa yupo Man city na timu ya taifa ya Ufaransa.
Mambo ya ufundi, kama emergency za Tanesco au umesafiri kikazi unatengeneza hela under limited time?Kazi za technical