Makapuku Forum

Bhinamu ebu kuwa siliasiiii bhasiiii ...ulivonichuniaa pale nkajitoaa ufahamu si unajua tigo yako ulisahau kwenye ile jaketiii niliyokukwapuaa na baridiiii...si nikaitiaaa eti kuitiaaa ...nimeweka on kwenye kinokiaa ntintitiiiii mara sms naiona mama K nkafikiriaa yupiiii ...kuisoma anauliza ile kuku uliyosema akaushee huendiii....nkajitosa mpaka ndanii...nimesema umeitwa kikazii ila alikuwa mtamu..


Yule wa wigi wee achaa si nilivopita kwa mangii nkakuta katundika wigi sijui ndo yeboyeboo tena beii cheeee nkaziweka kwenye mfuko kupelekaa et yeye ana zake special sijui roseeee nini
 


...pedeshee mutu ya watu, muzee ya peremende, muzee ya kugawa cheni za goldna silver mutamu ya batoto bazuribazuri
 
Shunie anajua kuwa unajua kuimba
 
...pedeshee mutu ya watu, muzee ya peremende, muzee ya kugawa cheni za goldna silver mutamu ya batoto bazuribazuri
Ewaaaaaaaaaah alafu apooo nikipanda stejini ukiwa umeshika briiiifuukeeesiiii kipigweee attente kama cha kuingilia mwisho agongeee hiki amalizeee na associe ....uku ukiona yale matoto mazuriii yakinenguaaaaaa.....weeeeee..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…