Baba D
sijamuelewa binamu....bora umshangae huyu mjomba wangu? Eti umeuzwa? ulikuwa kwenye duka la nani?
sijamuelewa binamu
hahahha binamu nilikuona mpole nikajua tu siku hazifanani....mwenyewe hapa sijamuelewa labda tumsomee albadiri
Tuanzie hapo kwanzaNa wewe umeuzwaa ??
shemela sipo kwenye hizo groups mieTuanzie hapo kwanza
hahahha binamu nilikuona mpole nikajua tu siku hazifanani
Kwema kabisa, pande hizo mambo yameendajeAsante mdau Shululu, kwema lakini?
Lazima niwe mpole maana mjomba wangu huyu tuna mengi tunafanana sema mengine kama hilo ni lake kiprivate(kibinafsi). Kwa hili lazima aseme swali lake alikuwa anamaanisha nini?
Kwema kabisa, pande hizo mambo yameendaje
....bora umshangae huyu mjomba wangu? Eti umeuzwa? ulikuwa kwenye duka la nani?
Asante kwa kutokuwepo na ufafanuzi wakoshemela sipo kwenye hizo groups mie
Hilo ndio la msingi, kazi kazi tu...siku hazigandi japo zinakwenda polepole na leo. Kiujumla mambo poa kabisa sema michakato tu si unajua ukiwa huwezi kuiba inabidi ufanye tu kazi halali
kwahiyo wewe halikuhusu kabisa sijamuelewa kabisa baba d
naziogopa sana group za jfAsante kwa kutokuwepo na ufafanuzi wako
binamu unaanzaa me ujue nishajizoelea yaan we ongea tuyeah, huu ndo ukweli, halinihusu kabisa hili alilouliza. Hebu fikiria hata wewe, kwanza saa hizi kama hayuko kule (ooh, hatuongelei tena yale mambo ππ) ngoja nifute kauli.
Akija hapa atoe ufafanuzi
shemela sipo kwenye hizo groups mie
Groups za nini? Kuna habari mpya hapa Jukwaani kuhusu magroup na sijaiona?
Hii tabia yangu ya kuwa wa mwisho kupata news sio nzuri kiafya