Makapuku Forum

1942 - Jenerali Erwin Rommel wa Jeshi la Nazi anapandishwa cheo na kuwa Field Marshall mara baada ya kuuteka mji wa Tobruk huko Libya.

Wenyewe walimpachika jina la Desert Fox
Alifariki mwaka 1944 wakati wa WW2(nafikiri alijiua pamoja na Hitler baada ya kuzidiwa na kuzingirwa)

Hapo kwa majirani zetu Uhuru Kenyatta anajiitaField Marshall wakati hajapigana hata kavita kamoja .....Al Shaabab tu wanamchezea sharubu
.......
 
Siku hizi kuna Video Assistant Refaree hakuna magoli ya ujaujanja
Ila binadamu hatuna jema tunalalamika pia ila timu zetu zikionewa km bao la Amissi Tambwe dhidi ya Simba tunatokwa mapovu
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…