Makapuku Forum

WAPUMZIKE KWA AMANI WKIMBIZI WALIOZAMA NA KUPOTEZA MAISHA.

Suala la ukimbizi ni gumu kuisha mpaka mfumo wa maisha na usalama wa nchi za kiafrika urekebishwe...hao ni wale wanaoondoka kwa kujifichaficha ,nchi zetu pia zina watu wengi wameondoka kwa majina ya kwenda kusoma,kutembelea ndugu,kutibiwa lakini ukichunguza ni ukimbizi.

Hao wanaotajwa wauaji na wabakaji kwakweli wachunguzwe haraka na hatua za kisheria zichukuliwe ,naamini vithibitisho vipo,vifo na hao waliobakwa.

Lee wa Shunie asante sana kwa HADITHI,BBC ,UF NA BARAKA UBARIKIWE SANA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…