Makapuku Forum

...yanini nione choyo au donge kwa jina lako kuandikwa mkononi tena kwa kalamu ya wino. Pale tu kenda kukoga jina likapotea. Lingeandikwa moyoni hapo ungekuwa na ubavu wa kunituhumu.

Unajua kuachika na kukataliwa ni mtihani sana. Vumilia
Nasuburia kwa hamu nawewe akuchole kwa kiganja chake

Maana huyu mrembo kwa kutugonganisha hajambo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…