Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,833
Nipo mkuu. Umerudi umekuta ushapigwa chini akina binamu bila aibu wameshajitwalia mke. Ndo dunia hiyo. Piga moyo konde na usonge mbele. Kuna Aganza waambie mabosi wa hapa wakuunganishe [emoji23][emoji23][emoji23]Mtani unapotea sana aisee
Habar yako?? Zaidi
kwan binamu lini alikuwa na mkeInamaana husna ni mke wa pili wa binamu yake shunie[emoji87] [emoji87] [emoji87]
ila binamu weweHa hahahahah.
Aksanteh shemela[emoji134] [emoji134] [emoji134] Pole shemela
[emoji134] [emoji134] [emoji134]Noo inabidi ifike pahala tuheshimianee utan mwingine sio ...utan upo ila muktadha uuangaliwe
Wapi hukosimu alikuwa nayo jana Baba D mke mwee halaf kuna chimbo sijakuona au unasoma kimya kimya
[emoji736] [emoji736]ndio mautani yenu hayo me ndio mana sitaki kabisa
DohHa hahahahah.
Nijilipie mwenyewe. Mke kachukuliwa naona hauko sawa. Ndo imeshatoka hiyo rafiki yangu. Utacheka sana lakini jamaa ndo walishabeba hivyo!Umenene vyema%%
agiza kinywaji pendwa hapo call me jay jilipie mwenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134]
umeona shemela acha nionekane mkali tu[emoji736] [emoji736]
Kesi imeishaMaaaaweeeeeee, hakyanani nilijua tu. Wewe unaniteteaga sana sasa nikajiuliza vipi ujue naumwa na umeona BH anataka kuja uanze kunizibia tena. yalikuwa ni mawazo sasa umenifungua, alikuwa ni anko wangu mwenyewe kabisa.
Ndo maana haipiti nusu saa ananiulizia kama mgeni kafika kumbe anajua alichofanya. Nashukuru kwa taarifa aunt yangu, uzidi kubarikiwa uwe na moyo mwema na ila siku nyiingine hakikisha simu yako haichukui bhana, unaona nilitaka kuchuma dhambi bure kwa kukusingizia. Nisamehe kwa kweli
Umenena vyema%%
agiza kinywaji pendwa hapo call me jay jilipie mwenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134]
entertainmet shamac kaweka story bandika bandua ipo episode ya 26 sijui utamaliza liniWapi huko
[emoji134] [emoji134]ucniambieInamaana husna ni mke wa pili wa binamu yake shunie[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Yupo njiani kuelekea mto yorodaniAkipewa nyembu ndo mnitonye. Maua ndo nini? Si ajabu shemeji anacheza na akili zake tu kama alivyokuwa anacheza na akili za Shedede [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwaiyo alivyo niandika kwenye mkono wake ulionaga choyo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
AGANZA duuh huyo mi simuwezi bora niwe bachelor[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nipo mkuu. Umerudi umekuta ushapigwa chini akina binamu bila aibu wameshajitwalia mke. Ndo dunia hiyo. Piga moyo konde na usonge mbele. Kuna Aganza waambie mabosi wa hapa wakuunganishe [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji120] [emoji120] [emoji120] asante shemela huenda haikuwa ridhiki ykoAksanteh shemela
Unajua niwewe pekee ndo huwa unanifaliji japo kwa pole
Nadiliki kusema I love you shemela