Makapuku Forum

Jana nilipenda nishinde nanyi ila TANESCO walinipenda zaidi nikashindwa kuleta madini mujarabu.

Walibana wakaachia na sasa nipo nanyi tena kuendeleza kile kilichokusudiwa.

Awali ya yote natoa pole kwa familia ya mwimbaji wa taarabu mzee Yusuf kwa kumpoteza mkewe bi Chiku usiku huu Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi



Tutaangalia matokeo ya mechi za jana pia na kuwafahamu wachezaji walioachwa na timu zao, waliosajiliwa na waliotolewa kwa mkopo kwa timu zote za ligi kuu Uingereza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…