Makapuku Forum

Namba 06..

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini yatoa tahadhari kuwepo upepo mkali na mawimbi makubwa baharini katika maeneo ya Mwambao wa Pwani Jumapili hii
Wamechelewa kutoa taarifa, tangu kama wiki moja hivi iliyopita hali ya hewa hasa upepo ukanda wa pwani ya bahari ya hindi Kuna upepo mkali sana, japo mwezi wa saba utakuwa zaidi ya huu wa sasa, hata jet za azam zinapata shida kipindi hiki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…