Makapuku Forum

Namba 05 ...

Polisi wamethibitisha kwamba idadi ya watu waliofariki kutokana na janga la moto kwenye jumba la Grenfell Tower London Uingereza imefikia 30 ..

Niongeze tuu.

Leo waandamanaji wamemtolea uvivu waziri mkuu wao Theresa May alipofika eneo la tukio kwa ajili ya kujionea athari zilizotokea.

Shukrani kwa jeshi la polisi la West london kwa kumlinda Waziri mkuu. Hali ilikuwa mbaya mno ametupiwa maneno ya dhahaka na matusi..

Moja ya maneno ya waandamanaji ni ;


1. What is she doing here?

2. She is going back to her nice cosy home..

3. Murderer

4.Coward

5. Get the *** out..

Hayo ndio maneno ya waandamanaji kwa Pm Theresa May wakiitaka serikali ijibu lini haya majanga yataisha na ni kwanini yametokea..

May akiwasili.

Theresa may akutana na shubiri ya waandamanaji.


Sasa Tz mtukane PM uone..
 
Unapotezwa aisee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…