Sijajiita bali watu wananiita
Ndugu + marafiki kuanzia shule hadi chuo waliniita hivyo kutokana tu na jinsi ninavyovaa
Si unajua "majungu" ukiwa smart wanakuita bishoo/tozi...ukiwa rachafu/rafurafu wanakuita mshamba
Hivyo kwangu wala sikumind kuitwa toz
Na ndo sababu nalitumia hata hapa JF
.......