Makapuku Forum

Makapuku Forum

Karibu mkuu huku peace sana na endelea kuangaza angaza macho unaweza kupata ile kitu roho yako inapendaga.
Unataka kuniambia kuwa hapa kwa makapuku hakuna matabaka? Ina maana mimi wa kuja ninathamimiwa sawa na esteemed founder Sir Bitoz na officials wengine?

Ile kitu roho inapenda ukiwa mgeni hivi ni ngumu. Waweza paramia kapuku wa mtu halafu ikawa shida. Ila ingependeza sana japo kwa sasa niko mbali na Bongo kwa muda kama wa miezi mitatu hivi. Nafurahi tu jinsi nilivyopokelewa. Kule kwa wenyewe huwa ni nadra sana kwangu kupata likes...
 
b69b1ae2cb11398364cced0e3aa5571c.jpg
 
Unataka kuniambia kuwa hapa kwa makapuku hakuna matabaka? Ina maana mimi wa kuja ninathamimiwa sawa na esteemed founder Sir Bitoz na officials wengine?

Ile kitu roho inapenda ukiwa mgeni hivi ni ngumu. Waweza paramia kapuku wa mtu halafu ikawa shida. Ila ingependeza sana japo kwa sasa niko mbali na Bongo kwa muda kama wa miezi mitatu hivi. Nafurahi tu jinsi nilivyopokelewa. Kule kwa wenyewe huwa ni nadra sana kwangu kupata likes...
Hakuna ligi wala tabaka
Tupo peace
....................
 
Unataka kuniambia kuwa hapa kwa makapuku hakuna matabaka? Ina maana mimi wa kuja ninathamimiwa sawa na esteemed founder Sir Bitoz na officials wengine?

Ile kitu roho inapenda ukiwa mgeni hivi ni ngumu. Waweza paramia kapuku wa mtu halafu ikawa shida. Ila ingependeza sana japo kwa sasa niko mbali na Bongo kwa muda kama wa miezi mitatu hivi. Nafurahi tu jinsi nilivyopokelewa. Kule kwa wenyewe huwa ni nadra sana kwangu kupata likes...
Hapa ni Peace and Love
*_________________________*
 
Unataka kuniambia kuwa hapa kwa makapuku hakuna matabaka? Ina maana mimi wa kuja ninathamimiwa sawa na esteemed founder Sir Bitoz na officials wengine?

Ile kitu roho inapenda ukiwa mgeni hivi ni ngumu. Waweza paramia kapuku wa mtu halafu ikawa shida. Ila ingependeza sana japo kwa sasa niko mbali na Bongo kwa muda kama wa miezi mitatu hivi. Nafurahi tu jinsi nilivyopokelewa. Kule kwa wenyewe huwa ni nadra sana kwangu kupata likes...
Hakuna matabaka mkuu, ndio maana likes zako 5 sawa na bitoz, hapa usawa upo sana.
Hili la kimwana usiwe na hofu pitia kwa paroko jambilo ana mafaili ya warembo waloleta maombi ili kupata wenza. Najua unapenda zigo la ukweli na ngozi ya rangi flani kwani file lako liko kwangu wew andaa ng'ombe wa kutosha kama jadi yenu watu wa kanda ile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom