Mmeanza!Hahaha hawawezi aisee
Kwao Mark Viduka2/Australia
Hii ndo nchi pekee duniani ambayo pia ni bara
Dhahabu hupatikana kwa wingi huko Perth
Mgodi mkubwa na maarufu ni Golden Mile
Dhahabu huwaingizia Australia USD 14 bilioni kila mwaka
Wana hazina/akiba ardhini ya Tani 7,400 za dhahabu
Australia huzalisha dhahabu takribani Kg 270,000 kwa mwaka
.........
obe wewee hurumia mbavu zangu
Hawa jamaa wana karibu kila kitu vikiwemo mafuta, Uranium na madini mengine adimu. Tatizo lao ni kwamba hawataki kuchimba na hata kutumia ya kwao. Yao wanaweka akiba for the rainy day(s) huko mbele ya safari na kazi yao ni kuchukua ya wengine ikibidi kwa nguvu. Fort Knox kule nasikia wana dhahabu kibao na ndiyo hasa nguvu ya uchumi wao.3/[USA
Hawa nao wapo
Dhahabu linapatikana kwa wingi huko Las Vegas na Nevada
Dhahabu nyingi imehifadhiwa kwenye mavault huko New York City,Fort and Knox
Kwa mwaka huzalisha dhahabu Kg 237,000
........
Shemeji vipi tena? Why are you throwing me under the bus jamani? Nikishinda utanikoma!
Huyu shedede simtaki tena akatafute wachawi wenziee
BinamuuuHa ahhahahaha, hata mwezi bado oh tangu muoane eeh kelele kila siku ndani ya nyumba yenu mamaaeee.
Hata hivyo ni fursa nzuri kwa Makapuku wengine
...ndo uache kucheka kwa sauti, just cheka kimyakimya
kujoin hawezi atakula kwa macho tu na kujitesa basi
Ha ahhahahaha, hata mwezi bado oh tangu muoane eeh kelele kila siku ndani ya nyumba yenu mamaaeee.
Hata hivyo ni fursa nzuri kwa Makapuku wengine
Asante mkuu nazidi kuelimika tu1/ChinaHuyu ndo baba wa uzalislhaji wa dhahabu duniani
Siyo tu kuzalisha bali pia anaitumia rasilimali zake vilivyo kuleta maendeleo kwa wananchi wake.....hakuna mikatahba ya kiMangungo wala upuuzi wa akina Acacia
Dhahabu inapatikana kwa wingi Shadong Province ambako ndo kuna reli ya Beijing hadi Shanghai
China ina hazina ya dhahabu isiyochimba Tani 1,900
Dhahabu yote inasimamiwa na serikali kupitia China National Gold Group
China huzalisha takribani Kg 255,000 za dhahabu kwa nwaka
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........
Asante Bitoz1/ChinaHuyu ndo baba wa uzalislhaji wa dhahabu duniani
Siyo tu kuzalisha bali pia anaitumia rasilimali zake vilivyo kuleta maendeleo kwa wananchi wake.....hakuna mikatahba ya kiMangungo wala upuuzi wa akina Acacia
Dhahabu inapatikana kwa wingi Shadong Province ambako ndo kuna reli ya Beijing hadi Shanghai
China ina hazina ya dhahabu isiyochimba Tani 1,900
Dhahabu yote inasimamiwa na serikali kupitia China National Gold Group
China huzalisha takribani Kg 255,000 za dhahabu kwa nwaka
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........
binamu wewe...akila kwa macho itakuwa ni nafasi nzuri ya yeye kufanya onesome
Lazima wana siri na kitu fulaniHawa jamaa wana karibu kila kitu vikiwemo mafuta, Uranium na madini mengine adimu. Tatizo lao ni kwamba hawataki kuchimba na hata kutumia ya kwao. Yao wanaweka akiba for the rainy day(s) huko mbele ya safari na kazi yao ni kuchukua ya wengine ikibidi kwa nguvu. Fort Knox kule nasikia wana dhahabu kibao na ndiyo hasa nguvu ya uchumi wao.
Akiwemo ObeHa ahhahahaha, hata mwezi bado oh tangu muoane eeh kelele kila siku ndani ya nyumba yenu mamaaeee.
Hata hivyo ni fursa nzuri kwa Makapuku wengine
Asante kwa kumi kubwa bitoz1/ChinaHuyu ndo baba wa uzalislhaji wa dhahabu duniani
Siyo tu kuzalisha bali pia anaitumia rasilimali zake vilivyo kuleta maendeleo kwa wananchi wake.....hakuna mikatahba ya kiMangungo wala upuuzi wa akina Acacia
Dhahabu inapatikana kwa wingi Shadong Province ambako ndo kuna reli ya Beijing hadi Shanghai
China ina hazina ya dhahabu isiyochimba Tani 1,900
Dhahabu yote inasimamiwa na serikali kupitia China National Gold Group
China huzalisha takribani Kg 255,000 za dhahabu kwa nwaka
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........
ujue yeye kajitoa sijamuelewa shemelaAkiwemo Obe