Siku ukikuta mtoto ye yote hapa duniani (nje ya Afrika) akikatazwa kuongea lugha ya mamake, lugha mama ambayo kupitia kwayo ndiyo anaweza kufinyanga mawazo yake na hatimaye kujitambua yeye na nafasi yake katika dunia hii nitafute nikupige ofa ya Balimi za kutosha!
Hilo katazo limevuka mipaka, mtoto toka anaanza kuongea anazungumza lugha mama kumkataza ni kumnyima uhuru wake labda wakate ndani ya darasa wakati wa vipindi.
Endelea kupambana kamanda. Hata kama ni kukuna nazi we kuna tu. Tena hawa wa kuoza hawa wakioza wanaoza kweli kweli. Ukifanikiwa kumbadilisha msimamo tu kwisha kazi. Usije ukasahau kuleta mrejesho