Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu ucje ukawa unafuata totoz kwa morombo nackia mrina chehchez wamehamia huko. Tulizana, mimi nilishaacha kabsaa
Mtumish maadam umejaribu kunichafua hadharani yakubidi utoke tena hadharani kunisafisha mkuu...Totoz tena na unasema wazi kiasi kwamba hata my amaizing anaona..Please nitake radhi asee..Kwa Mrombo tunaendaga watu kama 6 tunapoteza uhai wa mbuzi 1..watu tunarud home hakuna zaidi..
 
Mtumish maadam umejaribu kunichafua hadharani yakubidi utoke tena hadharani kunisafisha mkuu...Totoz tena na unasema wazi kiasi kwamba hata my amaizing anaona..Please nitake radhi asee..Kwa Mrombo tunaendaga watu kama 6 tunapoteza uhai wa mbuzi 1..watu tunarud home hakuna zaidi..
Sjakutuhumu bali nimesema isiwe hivyo
 
561da29dcf7d294d424293e04f372939.jpg
27b652fe5f9f232b5f990a005ad14e17.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom