manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,745
Mtumish maadam umejaribu kunichafua hadharani yakubidi utoke tena hadharani kunisafisha mkuu...Totoz tena na unasema wazi kiasi kwamba hata my amaizing anaona..Please nitake radhi asee..Kwa Mrombo tunaendaga watu kama 6 tunapoteza uhai wa mbuzi 1..watu tunarud home hakuna zaidi..Mkuu ucje ukawa unafuata totoz kwa morombo nackia mrina chehchez wamehamia huko. Tulizana, mimi nilishaacha kabsaa