Mtumish maadam umejaribu kunichafua hadharani yakubidi utoke tena hadharani kunisafisha mkuu...Totoz tena na unasema wazi kiasi kwamba hata my amaizing anaona..Please nitake radhi asee..Kwa Mrombo tunaendaga watu kama 6 tunapoteza uhai wa mbuzi 1..watu tunarud home hakuna zaidi..Mkuu ucje ukawa unafuata totoz kwa morombo nackia mrina chehchez wamehamia huko. Tulizana, mimi nilishaacha kabsaa
Sjakutuhumu bali nimesema isiwe hivyoMtumish maadam umejaribu kunichafua hadharani yakubidi utoke tena hadharani kunisafisha mkuu...Totoz tena na unasema wazi kiasi kwamba hata my amaizing anaona..Please nitake radhi asee..Kwa Mrombo tunaendaga watu kama 6 tunapoteza uhai wa mbuzi 1..watu tunarud home hakuna zaidi..
Na haiwezi kuwa hivyo kabisa mkuu..Mara ya mwisho umeenda Aquiline Hotel lini...?Sjakutuhumu bali nimesema isiwe hivyo
Akununue swata tu maana hakuna namna.
kwa hyo atakuwa na miaka 76Kumbe mkubwa sanaa
Ndo hivyoAnyway
Kuna walio aga kabisa kuwa watakuwa chumban na wenzi wao mfano Th Name yeye aliweka bayana kabisa kwamba hatakuwa hewani kwa mda maana kuna swala watakuwa wanashughulika nalo kati yake na lizziebettieMchana huu jukwaa limepooza...au ndio mambo ya sikukuu
PointMkuu jimena alinichanganya sana lakin roho alinionya niache, sasa nanena kwa lugha mpya na jimena imebaki dada+kaka
AsanteJimena unajua anamvuto wa tofauti sana, dah nisimsifie sana nisejerudia kosa, kwani nimeacha ni mtu safi sasa
Sjawahi kuvutiwa kuingia aquilin mkuu TGT ndo mpango mzimaNa haiwezi kuwa hivyo kabisa mkuu..Mara ya mwisho umeenda Aquiline Hotel lini...?
Si kuingia kwa maana ya kuingia...Ila ukipata wasaa pitia pale kuanzia saa 2 hivi....Si unajua wasawhili wanasema fahari ya macho...Sjawahi kuvutiwa kuingia aquilin mkuu TGT ndo mpango mzima
alaa...kumbe Th Name kuna kikazi wanapiga na lizziebettie mchana huu..Kuna walio aga kabisa kuwa watakuwa chumban na wenzi wao mfano Th Name yeye aliweka bayana kabisa kwamba hatakuwa hewani kwa mda maana kuna swala watakuwa wanashughulika nalo kati yake na lizziebettie
Tuko tunaunganaMchana huu jukwaa limepooza...au ndio mambo ya sikukuu
Mnaungama?Tuko tunaungana
Safi sana