Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Njere's mbunge Joshua hakauki labda kwa sasa yuko bungeni, vp kwa donii usa?Hahahahah nimekusoma sana ama maeneo ya Usa panaitwa Njere's nao wanajitaidi kuimport semi-trailer..
Njere's mbunge Joshua hakauki labda kwa sasa yuko bungeni, vp kwa donii usa?Hahahahah nimekusoma sana ama maeneo ya Usa panaitwa Njere's nao wanajitaidi kuimport semi-trailer..
Hii yangu pekee yangu. See you later brazaSawa mkuu.
Naomba uniazime siku moja nami nijisafishe,naona hii sabuni ya mshindi si nzuri kabisa.
GamboshiDu hatareee...gambushi hii
Duh!,watu wamekula maisha aisee.amezaliwa mwaka 1940
Enjoy wakati hela inateketeaEnjoyyy
Sivaagi mitumbu Turkey' suit tuUtakuwa mdowezi wa wake za watu.
Duh!,watu wamekula maisha aisee.
Mimi hata miaka 40 sina uhakika.
Hahahaha.Hahahahahah Shemeji umeua sana..Kwani ni kweli humfahamu lizziebettie ama umeamua kuwa mkorofi tu.
Hata unajua aliko mda huu?
Poa brother.Hii yangu pekee yangu. See you later braza
Kabisa ni chocho ya Dogo janja ile, kwa Dony wameleta uswahili baada ya kupata jina kubwa sana kuwa wao ndiyo wanachoma nyama nzuri sana..Wakalewa sifa si kiivyo sana siku hizi...Sehemu kidogo ambayo haijachuja bado ni Rotterdam wanachoma kuku kienyeji matata sana pale...Ukikosa kuku Lenana usijute kuchoma wese mpaka kwa Don hutojutia mafuta yako..Njere's mbunge Joshua hakauki labda kwa sasa yuko bungeni, vp kwa donii usa?
Nipo hapa. BaadaeHata unajua aliko mda huu?
Mkuu lazima nidai risti.Hii issue ukikamilisha dai receipt ya TRA kodi ya serikali muhimu kukatwa
Mkuu nilipamis ar kiasi, vipi twende hata kwa mromboKabisa ni chocho ya Dogo janja ile, kwa Dony wameleta uswahili baada ya kupata jina kubwa sana kuwa wao ndiyo wanachoma nyama nzuri sana..Wakalewa sifa si kiivyo sana siku hizi...Sehemu kidogo ambayo haijachuja bado ni Rotterdam wanachoma kuku kienyeji matata sana pale...Ukikosa kuku Lenana usijute kuchoma wese mpaka kwa Don hutojutia mafuta yako..
Kumbe mkubwa sanaaamezaliwa mwaka 1940
Sawa mkuu furahia kitu but acha nyodo kijanaNipo hapa. Baadae
Kwani pesa kazi yake ni nini??Enjoy wakati hela inateketea