Makapuku Forum

Simba Sc wanachekesha sana, Okwi wa nini sasa? Badala ya kujikita kutafuta damu mpya wao wamekariri maisha na Okwi wao.

Anyway, asante kwa Magazeti Mkuu!
Pamoja sana mkuu musolini

Tatizo la hizi timu zetu zimefumbwa macho, zinauwezo wa kuona zilipokanyaga tu, hazina uwezo wa kuangalia mail 50

Ukweli kwenye soka letu itachukua muda sana kufanikiwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…