Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Wewe una hangoverPole sana, au D anakaribia kupata mdogo wake
Wewe una hangoverPole sana, au D anakaribia kupata mdogo wake
hivyo vya kunisaidia ni niniiiHapana shemela
Nilikuambia yameisha shemelasawa Baba D
hivi Baba D haya mambo ya cheusi mangala haya ujue siyaelewi mbona binamu amekazania hiviii

Kitu gani shemelashemela me nishakubaliana na kitu
WineWewe una hangover
haina hangover
au Baba D umempa maagizo ayafikishe kiutu uzima jamaan ujue najiuliza mpaka anamuongelea cheusi mangala anajua me rangi yanguMi ata nashangaaa
shemela usicheke ujue
Yetu machoshemela usicheke ujue
Mh! Huyu baba d wako majanga dume nishachoka siombi tena msamaha akiweka sawa asipoweka sawa tumejutia kosa kweli tumeomba msamaha sana me mpaka pm nimeenda aone ninavyojutia lakini wapiiii Baba D hataki
Ulituambia nn kwani?!Jana niliwaambia nn
Au tiari?!naumwa

Ohoooooohivi Baba D haya mambo ya cheusi mangala haya ujue siyaelewi mbona binamu amekazania hiviii
sawa Baba D
Mawazo yetu yamefananaPole sana, au D anakaribia kupata mdogo wake
Nimekula maharage ya Kisambaa, if you know what I meanMkuu kwa good morning
Vipi umeamka umekula maharage ya juzi au



Big Brother show. Almost kila wiki lazima mtu aondokee...