Makapuku Forum

Makapuku Forum

b7e20aa4fce53f7d49d74d3b4094ee0c.jpg
 
Makapuku. Itabidi tu niwaombe radhi. Topiki ya Falsafa sitaweza kuianzisha leo. I chewed more than I can swallow. Kumbe inabidi nisome some kidogo vinginevyo nitaishia kuwaletea mawazo yaliyofinyangwa finyangwa tu kiholela. Na mimi huwa sipendi mediocrity.

Lengo langu la ndani katika topiki hii ni mimi kujifunza zaidi kuhusu falsafa kwa sababu itabidi nijisomee kwanza. Ni katika jitihada za kupanua mawazo tu kwani huwa navutiwa sana na wanafalsafa mbalimbali hasa Emmanuel Kant (mwanzilishi wa tapo la Existentialism), mwanafalsafa kichaa Fredrick Nietzsche (huyu aliwahi kuutangazia ulimwengu kuwa God is dead!) na wengineo wengi.

Kwa hiyo Falsafa itaanza wikendi ijayo Jumamosi na nitaanza na mawazo juu ya kifo na jinsi kinavyotazamwa kifalsafa. Je, wanafalsafa wanakionaje? Tunapaswa kukiogopa kifo? Tufanye nini? Asanteni....
a456d31e49c6607edcea71d24f51b507.jpg
Kumbe ulifikiri ni rahisirahisi tu
Kuandika mada kunahitaji utulivu kinoma

Mimi nilianza kibashitebashite nikaja kugundua yafuatayo now naandika kwa kujiamini
*Kusoma net/kitabu
*kuchambua ulichosoma mfano mtu unasoma maneno 100 lakini unaandika 20 tu
*kuwa na maarifa na unachokiandika maana mtu unaweza kupigwa swali inakuwa noma

Mdau nasubiri falsafa zako next week kwa hamu

........
 
Kumbe ulifikiri ni rahisirahisi tu
Kuandika mada unahitaji

Mimi nilianza kivas hire bash it's zen nikagundua yafuatayo now naandika kwa kujiamini
*Kusoma net/kitabu
*kuchambua ulichosoma mfano mtu unasoma maneno 100 lakini unaandika 20 tu
*kuwa na maarifa na unachokiandika maana mtu unaweza kupigwa swali inakuwa noma

Mdau nasubiri falsafa zako next week kwa hamu

........
Ni kweli. Shida mojawapo pia ni kwamba niko mbali na laptop na kuandika kwenye hichi ki- nokia changu cha tochi napo ni shida tupu.

Mungu Atujalie uzima ili tufike hiyo wikendi ijayo.
 
Ni kweli. Shida mojawapo pia ni kwamba niko mbali na laptop na kuandika kwenye hichi ki- nokia changu cha tochi napo ni shida tupu.

Mungu Atujalie uzima ili tufike hiyo wikendi ijayo.
Noma sana aisee
Ila kadri utakavyoendelea kuandika ndo unazidi kubobea sababu tunajifunza kutokana na changamoto
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom