shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Dah aiseeheshima lazima iwepo kwa mume hata kama ni kichaa
Dah aiseeheshima lazima iwepo kwa mume hata kama ni kichaa
alikufurahisha nani shemelaAlinifurahisha aisee
ni kweli shemelaDah aisee
Kaa vizuri na Obekumbee ulisemaje shemela ungeniquote jaman ujue nina mashaka na haya mambo ya cheusi mangala halaf mimi hisia zangu haziniangushagi
Mheshimu shemeji yangu kama unavyotaka mkeo aheshimiwe hapa. Watendee wengine vile unavyotaka wewe utendewe!Kuwa silias kama unanitaka sema
Ila niko na nimpendae
inabidi nikae vizuri na binamu haiwezekani kila siku habari ni za cheusi mangala tuuuKaa vizuri na Obe
The episode starts to unfold...... ShededeeeeeeeeeeeMheshimu shemeji yangu kama unavyotaka mkeo aheshimiwe hapa. Watendee wengine vile unavyotaka wewe utendewe!
Kumbe ulifikiri ni rahisirahisi tuMakapuku. Itabidi tu niwaombe radhi. Topiki ya Falsafa sitaweza kuianzisha leo. I chewed more than I can swallow. Kumbe inabidi nisome some kidogo vinginevyo nitaishia kuwaletea mawazo yaliyofinyangwa finyangwa tu kiholela. Na mimi huwa sipendi mediocrity.
Lengo langu la ndani katika topiki hii ni mimi kujifunza zaidi kuhusu falsafa kwa sababu itabidi nijisomee kwanza. Ni katika jitihada za kupanua mawazo tu kwani huwa navutiwa sana na wanafalsafa mbalimbali hasa Emmanuel Kant (mwanzilishi wa tapo la Existentialism), mwanafalsafa kichaa Fredrick Nietzsche (huyu aliwahi kuutangazia ulimwengu kuwa God is dead!) na wengineo wengi.
Kwa hiyo Falsafa itaanza wikendi ijayo Jumamosi na nitaanza na mawazo juu ya kifo na jinsi kinavyotazamwa kifalsafa. Je, wanafalsafa wanakionaje? Tunapaswa kukiogopa kifo? Tufanye nini? Asanteni....![]()
C mm hapaalikufurahisha nani shemela

Ni kweli. Shida mojawapo pia ni kwamba niko mbali na laptop na kuandika kwenye hichi ki- nokia changu cha tochi napo ni shida tupu.Kumbe ulifikiri ni rahisirahisi tu
Kuandika mada unahitaji
Mimi nilianza kivas hire bash it's zen nikagundua yafuatayo now naandika kwa kujiamini
*Kusoma net/kitabu
*kuchambua ulichosoma mfano mtu unasoma maneno 100 lakini unaandika 20 tu
*kuwa na maarifa na unachokiandika maana mtu unaweza kupigwa swali inakuwa noma
Mdau nasubiri falsafa zako next week kwa hamu
![]()
![]()
![]()
........
inabidi nikae vizuri na binamu haiwezekani kila siku habari ni za cheusi mangala tuuu

Noma sana aiseeNi kweli. Shida mojawapo pia ni kwamba niko mbali na laptop na kuandika kwenye hichi ki- nokia changu cha tochi napo ni shida tupu.
Mungu Atujalie uzima ili tufike hiyo wikendi ijayo.
Ni kweli kuwa akina dada ambao hawakucheza mdako hawajui kupika? Nadhani idea ni kwamba hii new generation (ambayo hata haijui mdako ni nini) ina ideals tofauti na za huko nyuma kidogo ambako mambo kama self worthy, bidii ya kazi na misingi ya mwanamke bora vilikuwa vinasisitizwa sana.mdako
Nothing is unfolding sir...Your mind is just playing tricks on you, making you believe your convoluted perception. Shedede has nothing to worry about!The episode starts to unfold...... Shededeeeeeeeeeee