Makapuku Forum

Njere's mbunge Joshua hakauki labda kwa sasa yuko bungeni, vp kwa donii usa?
Kabisa ni chocho ya Dogo janja ile, kwa Dony wameleta uswahili baada ya kupata jina kubwa sana kuwa wao ndiyo wanachoma nyama nzuri sana..Wakalewa sifa si kiivyo sana siku hizi...Sehemu kidogo ambayo haijachuja bado ni Rotterdam wanachoma kuku kienyeji matata sana pale...Ukikosa kuku Lenana usijute kuchoma wese mpaka kwa Don hutojutia mafuta yako..
 
Mkuu nilipamis ar kiasi, vipi twende hata kwa mrombo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…