Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,006
- 150,541
Imekulaa kwenumumeo si ndio anakupa jeuri copy mke mwee
Imekulaa kwenumumeo si ndio anakupa jeuri copy mke mwee
hahahha nilijua tu mambo ya jua kuwa rangi nyekundu[emoji736] [emoji736] [emoji736]
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]atakutetea mme wako mke mwee
[emoji2] [emoji2]Fujoo hii sasa na jana umefanya "upuuzi wa Tumosa" kama huu
hatumwekiiii
[emoji134] [emoji134] [emoji134] msamehe Baba D kosa la mmoja usituadhibu woteSasa siendelei tenaaa
Unakula jeuri lako na shunie
kisamvu cha nazi na wali wa nazi na samaki wa kukaanga au kuku [emoji39]Mzima kabisa, T wangu naye yuko poa kabisa
Yupo shambani anachuma kisanvu cha jioni
wozaaaaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3] [emoji3] anakuja mamaa Shunie muke ya pedeshee Lee papaa wa maperemende
Mtajuanaa[emoji134] [emoji134] [emoji134] msamehe Baba D kosa la mmoja usituadhibu wote
ni kweli shemela au unabishaAisee
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] mnakomeshana ni niniBaba D asante jamaan ila nimecheka sana [emoji2] [emoji2] kafumania mchumba ake na kupigwa kapigwa mtu umeshaona mchumba ako ana baunsa unakufa na tai shingoni utajua mbele kwa mbele ila mam mtu mbaya sana [emoji23] [emoji23] huyu jamaa kapigwa jamaan kama nimemuona ila pole yake sana kwa kipigo cha baunsa
ndio ili ninapoishia niache hapo hapoWe unaenda kinyumenyume leo
wa dar[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Sana[emoji3] [emoji3] [emoji3] raha kuwa mkoani bwana
basi nilishasoma nilikua sijajua kama utafanya hivyo[emoji3] [emoji3] [emoji3] jana nlipitiwa ila leo mke mweee kaomba nmkopie nisamehe shemela
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa hiyo wew mama huruma??
hasira zikimuisha atatuwekea[emoji120] [emoji120] [emoji120] tusamehe shemela,mke mweee njoo tubembeleze mmeo kanuna hku
[emoji134] [emoji134]Mtajijuaa ....
Kweli..... Lakini kwa ninavyojua dadaangu alivyo mzuri sidhani kama mwanamme aliye rijaal atamuona katika hio Hali aliosema msukuma na akageuza sura.... Hata Mimi Kakaako siwezi.. Msemakweli mpenzi wa mungu.me pia nakuheshimu sana msukuma
hivi si umekuwa kaka yangu lakini mbona hapa kama una kauchochezi