Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Imekulaa kwenumumeo si ndio anakupa jeuri copy mke mwee
Imekulaa kwenumumeo si ndio anakupa jeuri copy mke mwee
hahahha nilijua tu mambo ya jua kuwa rangi nyekundu
hatumwekiiii
Sasa siendelei tenaaa
Unakula jeuri lako na shunie
msamehe Baba D kosa la mmoja usituadhibu wote
kisamvu cha nazi na wali wa nazi na samaki wa kukaanga au kukuMzima kabisa, T wangu naye yuko poa kabisa
Yupo shambani anachuma kisanvu cha jioni

wozaaaaaaa![]()
anakuja mamaa Shunie muke ya pedeshee Lee papaa wa maperemende

Mtajuanaa![]()
![]()
msamehe Baba D kosa la mmoja usituadhibu wote
ni kweli shemela au unabishaAisee
Baba D asante jamaan ila nimecheka sana![]()
kafumania mchumba ake na kupigwa kapigwa mtu umeshaona mchumba ako ana baunsa unakufa na tai shingoni utajua mbele kwa mbele ila mam mtu mbaya sana
![]()
huyu jamaa kapigwa jamaan kama nimemuona ila pole yake sana kwa kipigo cha baunsa
mnakomeshana ni nini
ndio ili ninapoishia niache hapo hapoWe unaenda kinyumenyume leo
Sana![]()
![]()
raha kuwa mkoani bwana
basi nilishasoma nilikua sijajua kama utafanya hivyo![]()
![]()
jana nlipitiwa ila leo mke mweee kaomba nmkopie nisamehe shemela
hasira zikimuisha atatuwekea![]()
![]()
tusamehe shemela,mke mweee njoo tubembeleze mmeo kanuna hku
Kweli..... Lakini kwa ninavyojua dadaangu alivyo mzuri sidhani kama mwanamme aliye rijaal atamuona katika hio Hali aliosema msukuma na akageuza sura.... Hata Mimi Kakaako siwezi.. Msemakweli mpenzi wa mungu.me pia nakuheshimu sana msukuma
hivi si umekuwa kaka yangu lakini mbona hapa kama una kauchochezi