Makapuku Forum

Mkuu umekuja.... Afadhali binamu apumue.... Alikuwa ameshaishiwa maneno maskin
 
Asante bitoz kwa top ten
 
Mimi ni mtu mstaarabu sana kwa watu wastaarabu mrembo Sakayo.

Angekuja kistaarabu ningemuelewa siyo kuleta mambo mengine ambayo siyo.

Kama vipi mwambie awe anatembea akiwa amekubeba mgongoni ili usitongozwe Mrembo.
Sakayo keshasema yupo na mimi ; its enough..

Afu pia wanaume huwa hatugombanii wanawake mkuu..

Umepiga sound umekuta ana mtu tayari...basi muache nenda zako.

Simple hivyo! And life goes..
 
Pamoja mkuu..

One love.
 
Asante Madenge
 
kumbe ulikuwa wewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…