Haya sasa valentina umefungua mlango mdudu kaingia ndani hahaha utani tuuWow ningependa kuungana na wewe dada yangu kipenzi Valentina
Kusherekee kwa pamoja mkuu
Au ushapata tayari wa kuungana nae?
Nimekufungia ndoa pamoja na mafundisho leo waongea nyodo!Kwangu hawezi huyo
Pamoja sana kaka.
Mkuu umekosa adabu futa neno vikojo....plz tutaku ignoreHivi kumbe my Dada V ulimaanisha muungano wa vikojoleo.... Just kidding
jinema kuja hapa
Huyu mgeni balaaa kama ukim...Ndiyo nini!!
Tatizo mtumishi siku hizi huaminikiNimekufungia ndoa pamoja na mafundisho leo waongea nyodo!
Ubinadam kazi kweli kweli
Aisee jamaa amenitisha.Huyu mgeni balaaa kama ukim...
mbona nshakujibu, mwanaume tena dume la mbegu. Nadhani nimejibu.Naomba kujua kuwa wewe ni she or he?
Nauliza tu boss
Hapana kaka cpendi uzinziParoko atafunga mwezi mzima kwaajili ya shemeji, atapita hapa haya.
Nakushauri abadilishe avatarmbona nshakujibu, mwanaume tena dume la mbegu. Nadhani nimejibu.
Hahahambona nshakujibu, mwanaume tena dume la mbegu. Nadhani nimejibu.
akija usiku mfukuze 2 mana hamna namna.Umeona eee, th name anataka mikosi tu, mkiwa wazima mwadharau madaktari mkiugua mwafunua makalio wenyewe mdungwe sindano, kadhalika mkivavamiwa na majini mnatusaka usiku wa manane tuwaombee
Nisamehe Bure Mkuu jambiloMkuu umekosa adabu futa neno vikojo....plz tutan ignore
Wala sjaomba nikuhudumie, umepata kiburi baada ya kumshawishi mkeo akukubali japo huna hata pa kulala, niliwaomba waumini wakuchangie kuanzia suti,kodi,mahari hata jiko la mchina, nilikuazima hata kiatu leo umekuwa na kiburi...sawa tuAkirudi mwambie Leo ninatoka out na mpenzi. Mchungaji huyu nilishakataa huduma yake mapema sana
Nilimpata huyu mwanamke hata kabla wewe hujamjua mtumishi. Ila sio kesi tufanye yaishe. Niache nilinde ndoa yanguWala sjaomba nikuhudumie, umepata kiburi baada ya kumshawishi mkeo akukubali japo huna hata pa kulala, niliwaomba waumini wakuchangie kuanzia suti,kodi,mahari hata jiko la mchina, nilikuazima hata kiatu leo umekuwa na kiburi...sawa tu
Kweli kabisa.Tatizo mtumishi siku hizi huaminiki
hahahaha naona umenywea.Tatizo mtumishi siku hizi huaminiki
HakikaKweli kabisa.
poa boss.Hapana kaka cpendi uzinzi