Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Aisee ni kweli.SWALI SWALI :
Mbona leo kwenye profile zetu hatuoni JOINING DATE YA JF.....Au ndo janja ya kuficha aibu ya wakongwe ?
Angalieni profile zenu km ni kweli
Hatumuadd mtu
Au tukakinukishe kule MEMBERS ONLY
................
.................
xavia jrsubiri atapita hapd.
Coz wanajulikanaIla wataelewa tu
Subiri kwanza.Ngoja tukapeleke lalamiko
..........
Ndo manakeCoz wanajulikana
Kazi wanayo
Usiongeze list ng'o had I joining date zionekane
...................
.............
Mmmh jamani xavia jr sijakutukana mpendwa wanguboss umemwelewa vibaya ngoja nimtetee, japo umenitukana boss.
Sasa huku unasema fix,
Huku oooh labda unatumia PC
Joined date yako august 27, 2015
Sasa hutaki nni?????
Cjaku cc kwani wew ndo wawasili pia haya maelezo nilikuwa nakupa wewe...hata hivyo cjataja wote nimelizia kwa kusema...na wengine kibao ni pamoja na wewe!Mbona mimi hujani cc mkuu jambilo?
Vipi za mida mkuu jambiloCjaku cc kwani wew ndo wawasili pia haya maelezo nilikuwa nakupa wewe...hata hivyo cjataja wote nimelizia kwa kusema...na wengine kibao ni pamoja na wewe!
naaaam bossxavia jr
Umeona eee, th name anataka mikosi tu, mkiwa wazima mwadharau madaktari mkiugua mwafunua makalio wenyewe mdungwe sindano, kadhalika mkivavamiwa na majini mnatusaka usiku wa manane tuwaombeehapana paroko anatumia fursa vizuri, zawadi yako itakuwa coca-cola bariïiiiiiiiiiiiiiiiidi yenye jina lao...........
Usiogope mshamba haelewi.Mmmh jamani xavia jr sijakutukana mpendwa wangu
Nisamehe Bure
Hapo umeeleweka sio yule makelele itakuwa kuna tatizo lkn litarekebishwaYa zamani.
Ya leo
Hahaha dada kumbe nawe mchokozi kiaina!Wewe utaungana na nani?
Poa mkuu.Hapo umeeleweka sio yule makelele itakuwa kuna tatizo lkn litarekebishwa
Poa mkuu
.................
ngoja nicheck.!!!!!!!!!!Aisee ni kweli.