Mpelekee salamu mwambie habari ya VUMBI LA CONGO na supu za pweza, kwa sasa si dhani kama lina nafasi kwa malkia mtulivu kama mama Mchungaji. Nimejizatiti kwa Mbegu za maboga, mdalasini wa India, Asali ya nyuki wadogo na vitunguu swahumu vya bongo, sio vile vya south Africa.Mkuu sorry ..nimetumwaa
Eti etii lakin .mukongo aka baba mchungaji acha kumsumbua mama mchungaji
Sijui kama kuna siku ata comment kitu humu. Nimecheka mpaka nikaona huruma baadae, the way alivyokuwa anatoa tuhuma zake.Wqnazenguaa
yaah mkuuInshallah, Mola atie wapesi na kuulainisha mtima wake ili atambue thamani yangu kwake.
jerry kidogoMkuu sorry ..nimetumwaa
Eti etii lakin .mukongo aka baba mchungaji acha kumsumbua mama mchungaji
mkuu unataka kutengeneza bomu la nyuklia?Mpelekee salamu mwambie habari ya VUMBI LA CONGO na supu za pweza, kwa sasa si dhani kama lina nafasi kwa malkia mtulivu kama mama Mchungaji. Nimejizatiti kwa Mbegu za maboga, mdalasini wa India, Asali ya nyuki wadogo na vitunguu swahumu vya bongo, sio vile vya south Africa.
Nimecheka sasa yule member aliyeomba pooo kule kwenye ule uzi, sijui aliyempokea kwa mabango humu ni nani?
Hawa watumiaji wa "Vumbi la Kongo" wanafanya tuvunjiwe Heshima kabisa. Sasa ni bora kujizatiti na "mimea asilia"mkuu unataka kutengeneza bomu la nyuklia?
Hahaaa vumbi la kongo nomaHawa watumiaji wa "Vumbi la Kongo" wanafanya tuvunjiwe Heshima kabisa. Sasa ni bora kujizatiti na "mimea asilia"
Hahaaa hilo kwel bomumkuu unataka kutengeneza bomu la nyuklia?
safi sana mkuu pambana na hali yakoHawa watumiaji wa "Vumbi la Kongo" wanafanya tuvunjiwe Heshima kabisa. Sasa ni bora kujizatiti na "mimea asilia"
si mchezoHahaaa hilo kwel bomu
Inabidi na mm niandae la hivyo huku nikisubili lee empire akinitafutiasi mchezo
jiongezeInabidi na mm niandae la hivyo huku nikisubili lee empire akinitafutia