Makapuku Forum

Yaap hata mimi nilikuja kipindi cha mvua...

Nakumbuka nilienda chuo cha NIT ndio wakanielekeza hapo ...

Daaah! Asante kaka kwa kunikumbusha mbali...


Hivi ndo vyoo vyetu kipindi cha mvua "tunavitoboa" mzigo wote unaelekea huko
Yale mabwawa ni maalum kwaajili ya maji machafu yanayozalishwa na kiwanda cha nguoURAFIKI ndiyo maana yanaonekana mweusi
Sasa Waswahili ndo tunaochafua mambo hapo
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…