Makapuku Forum

Zamani ndo palikuwa pachafu
Ya kisha mara na tu wa
Now kupo poa tu tunaenda kupunga upepo huko na mademu zetu ila samtaimu hasa kipindi cha mvua kuna harufu mbaya balaa
.....
Yaap hata mimi nilikuja kipindi cha mvua...

Nakumbuka nilienda chuo cha NIT ndio wakanielekeza hapo ...

Daaah! Asante kaka kwa kunikumbusha mbali...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…