Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha ha ha ha ha ha ha......hilo jina Shunie halina maana yoyote kwangu.. ...kuna rafiki yangu mmoja tulikuwa tunakutana internet cafe wakati huo smartphone hazijaingia alikuwa anajiita hilo jina ...wakati naingia insta nikajaribu kuchagua id nikaijaribu hio ikakubali basi nikaanza kuitumia.... Nilipoingia jf nikaamua kutumia hio hio.....lakini baada ya muda nimeanza kupata mawazo niibadilishe hii Id maana naona kama inaleta maana flani ambayo si nzuri.naomba ushauri wako.
Nimekuelewa sana we unaonaje uibadili au
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom