Nakumbuka mwaka 2003 tareh moja april tunapigiwa simu kuwa anko kafariki wote tukapuuzia na ilileta mtafaruko wa familia ilichukua mda kusolve hiyo kitu ...make wengi walidhania hatutaki kushiriki msiba
USA wanafiki sana
Hao ni wazee wa permanent interests
Wana madudu mengi sana
Siku hizi wakiaikia hata Waarabu 10 wameuawa na Israel watapiga kelele eti watetezi wa ubinadamu
.......