1939 - Meli ya MS St. Louis iliyokuwa imebeba wayahudi takribani 900 inakataliwa kuingia jimboni Florida nchini Marekani hivyo inageuza kurudi Ulaya ambapo Wayahudi 200 kati ya hao 900 wanaenda kuuwawa katika magerezaya mateso ya NAZI.
1939 - Meli ya MS St. Louis iliyokuwa imebeba wayahudi takribani 900 inakataliwa kuingia jimboni Florida nchini Marekani hivyo inageuza kurudi Ulaya ambapo Wayahudi 200 kati ya hao 900 wanaenda kuuwawa katika magerezaya mateso ya NAZI.
1986 - Jasusi wa Kimarekani, Jonathan Pollard anakutwa na kosa la kuuza siri nyeti za kijeshi za Serikali ya Marekani kwa Israel, anahukumiwa kifungo cha Maisha Jela.