Makapuku Forum

Asante Binamu yangu ubarikiwe sana
 
Sijamsikia, itabidi nikae chini nimsikize, au kaniharibia! Maana huyu mjombaangu full matatizo si kaenda kumwambia BH kuwa tuliendaga kwa mganga wa kienyeji kuangalia nyota, huku akijua kabisa BH na wapiga ramli ni kitumbua na mchanga.
 
Asante mkuu tumepata na kujikumbusha matukio haya
 
Mwaka huu ndo hivyo unapuyanga wapendwa. Tayari tumefikia nusu. Ati, malengo uliyokuwa umejiwekea kwa mwaka huu yanaendeleaje? Umeyakamilisha kwa asilimia ngapi?

Hata kama unajikongoja kama mimi, hakuna haja ya kukata tamaa. Bado nusu nzima inakusubiri. Rekebisha unapoona hapakwenda sawa hata kama ikiwa ni kupunguza muda wa kushinda hapa Makapuku, kuamka saa moja mapema zaidi n.k. Yote kwa yote mkumbuke na kumshukuru Mungu kwa yote, chapa kazi kwa bidii, endelea kutenda mema na mengine yote yatajitosheleza kwa wakati wake. Mbarikiwe sana!
 
Sijamsikia, itabidi nikae chini nimsikize, au kaniharibia! Maana huyu mjombaangu full matatizo si kaenda kumwambia BH kuwa tuliendaga kwa mganga wa kienyeji kuangalia nyota, huku akijua kabisa BH na wapiga ramli ni kitumbua na mchanga.
Bhinamu kipenz kwanza nikukumbushe ile simu uliyotaka ubadirishe ntaileta panapo majaliwa Mungu akijaliaa ...shaka ondoa

Asante kwa nyuzi ya leo make najua umejazwa vilivyo na bando za tigo na ni matumaini yangu ata BH umempigia kwa viber make nilikufundisha wasiwasi wangu sijajuaa kama ulikumbuka kuzima data make kila siku unadai simu inakata chaja haraka ...

Anyway mama mchuchu wala usiofu make imeandikwa samehe saba na 77 japo hesabu ya kuzidisha table sikumeza ilikuwa inaaishia 12..

Kuhusu kumwambia Mama mchuchu mambo ya mganga mbona ilikuwa zaman ata viroba havijakatazwa yawezekana nilikuwa nishafungua lock ...

Asante Mama mchuchu wa obe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…