Makapuku Forum

Karibu tena Shunie..

Pole sana!

We prayed for you..Hope you are okey now.
 


Welcome back my shunie kama ni kukumis nimekumis haswa ila muhimu umerudi salama na wanafamilia yetu walikuwa wanakuombea sana

N.B..mke mwee wako alidai alisaidia kuosha vyombo ...hakutoa rambirambi

Na bhinamu yako Obe naye alisaidia kuchimba kaburi ...
 
Pole sana shemela

Karibu tena ukapukuni
 
niliwaona mke mwee alikua busy na kuosha vyombo
binamu obe na marasta yake nilimuona alivyokua anahangaika na makaburi


Unaendeleaje lakini hope upo poa, halaf baby mwambie mke mwee na shemela nina kesi nao kwa nini walikucheka ulivyomwita Tumosa mke mwee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…